Robo fainali ya Ligi ya mabingwa Africa kuendelea kupigwa Leo Mechi ya kwanza pia Al Ahly akiwa ugenini dhidi ya Horoya AC walitoka sare tasa 0 - 0, Leo Al Ahly wapo nyumbani, matokeo kuwaje na timu gani kwenda nusu fainali? majibu utayapata kuanzia saa 4:00 Usiku.
Robo fainali ya Ligi ya mabingwa Africa kuendelea kupigwa Leo 22.09.2018
Reviewed by
wima
on
September 22, 2018
Rating:
5
No comments: