Matokeo Singida United vs Mbeya City leo 26.9.2018
Matokeo Singida United vs Mbeya City leo 26.9.2018
Matokeo ya Moja kwa Moja ligi Kuu soka ya Tanzania Bara TPL Leo 26 September 2018 kutoka uwanja wa Namfua Mkoani Singida.
Mechi imeanza
Singida United 0 – 0 Mbeya City
Goaaaal Habib Haji Kiyombo anaipatia Singida United bao la kuongoza kwa mkwaju wa Penati
Singida 1 – 0 Mbeya City
Dakika ya 38 Makosa ya Tibar John Yanawakosesha Singida bao la Pili
Dakika ya 39 Iddi Nado aliwachekecha mabeki wa Singida United na Kuset Mpira kwa Eliud Ambokile lakini mpira alioupiga Ambokile unapita nje ya Lango
dAKIKA YA 40
sINGIDA united 1 – 0 Mbeya City
Zimeongezwa dakika 2 ili kuweza kuhitimisha dakika 45 za kipindi cha pili wakati ambao Singida United wakiwa wanaongoza kwa bao moja kwa sifuri
HALF TIME
Singida United 1 – 0 Mbeya City (23′ Habib Kyombo)
KIPINDI CHA PILI
Mechi Inaendelea kipindi cha pili
Singida 1 – 0 Mbeya City
Dakika ya 47 Mbeya City wanapata Kona baada ya kufanya shambulizi langoni mwa Singida United
Kona inshindwa kufanya maajabu yoyote na Singida wanaokoa
Dakika ya 55 Mbeya City wanapata Free Kick lakini mpira unaopigwa na Mapunda unagonga UKuta uliopangwa na Singida United
DAKIKA 60
Singida United 1 – 0 Mbeya City (23′ Habib Kyombo)
Dakika ya 61 Singida United wanafanya mabadiliko ya Kumtoa Kenny Ally na nafasi yake inachukuliwa na Awesu Awesu mchezaji wa zamani wa Madini ya Arusha na Mwadui Fc ya Shinyanga
Dakika ya 62 Singida United wanafanya mabadiliko mengine ya kumtoa Geofrey Mwashiuya na nafasi yake inachukuliwa na Eliuter Mpepo ambaye msimu uliopita alicheza Tanzania Prisons ya Mbeya
Dakika ya 64 Amara Diaby anapewa kadi ya njano kwa mchezo usio wa Kiungwana na ni Faulo kuelekea Singida United
Dakika ya 65 Eliuter Mpepo anajaribu shuti langoni mwa Mbeya City mpira unapita juu kidogo ya Lango.
Dakika ya 66 Samatta wa Mbeya City anatoka anaingia Seleman Ibrahim
Goaaaaal Dakika ya 67 John Tibaranapiga shuti nje ya 18 na kuipatia Singida United bao la pili.
Singida United 2 – 0 Mbeya City
dAKIKA 75
Singida United 2 – 0 Mbeya City (23′ Kyombo, 67′ Tibar)
Dakika ya 84 John Tibar mfungaji wa bao la pili la Singida anatoka na nafasi yake inachukuliwa na Assad Juma
Dakika ya 89 Owen Chaima anafanya uzembe wa Ajabu unaoipa bao la 3 Singida United.
Singida United 3 – 0 Mbeya City
FULL TIME
Singida United 3 – 0 Mbeya City ( 23′ 67′ 89 Kyombo, Tibar, Kagoma)
No comments: