Mpira umemalizika kwenye dimba la Kambarage Shinyanga na Simba inaibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mwadui FC huku nahodha wake John Bocco akipata kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 80 baada ya kumpiga kwa makusudi mchezaji wa Mwadui.
Na haya ndio matokeo ya mchezo kati ya Mwadui FC na Simba SC
Reviewed by
wima
on
September 23, 2018
Rating:
5
No comments: